Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Kilimo

Bodi ya Tumbaku Tanzania

Kitengo cha Husiano wa Umma

Majukumu

Kitengo kinatekeleza majukumu yafuatayo:

  • Kutayarisha mkakati wa uhusiano wa umma wa Bodi;
  • Kuratibu utayarishaji wa taarifa za Bodi zitakazotolewa kwa vyombo vya habari na umma kwa ujumla;
  • Kutayarisha majibu ya maswali kutoka kwa Waandishi wa Habari;
  • Kuhariri matangazo na matamko kwa ajili ya kuchapishwa kwenye vyombo vya habari;
  • Kuratibu uchapishaji wa jarida la Bodi; na
  • Kutoa huduma za itifaki katika hafla zinazoandaliwa na Bodi.