Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Kilimo

Bodi ya Tumbaku Tanzania

Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi

Majukumu

Kitengo kinatekeleza majukumu yafuatayo:

  • Kushauri Uongozi juu ya masuala yanayohusiana na ununuzi, vifaa na uhifadhi;
  • Kusimamia ununuzi na uhifadhi wa mitambo/vifaa vya Bodi na vifaa vya ofisi;
  • Kusimamia uzingatiaji wa sheria za manunuzi ya umma;
  • Kusimamia uchambuzi wa orodha ya mali na uhakiki wa hifadhi ya vifaa/mali za Bodi; na
  • Kuandaa mpango wa manunuzi wa mwaka.